Friday, December 15, 2017

ZAIDI YA MITI 5,000 KUPANDWA WILAYANI KALIUA



>>Mkuu wa Wilaya Kaliua ashiriki kupanda miti barabara ya KALIUA - KIGOMA leo.....bofya hapa


>>Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wakipanda miti eneo la STENDI MPYA .....bofya hapa

ZOEZI LA UPANDAJI MITI WILAYANI KALIUA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Dr. John Pima akipanda mti katika zahanati ya Kaliua
 Dr. John Marco Pima akitoa maelekezo kwa watumishi wa Halmashauri ya Kaliua namna bora ya upandaji wa miti.
 Afisa Tarafa wa tarafa ya Kaliua Ndugu Bethod Mahenge, akishiriki vyema katika zoezi la upandaji miti katika zahanati ya Kaliua

Katibu Tawala-DAS wa Wilaya ya Kaliua akishiriki zoezi la upandaji miti katika zahanati ya Kaliua
Dr. Aristides Raphael (kulia) Mganga Mkuu wa Wilaya akiwa na Afisa Mapato wa Halmashauri wakishirikiana kupanda miti katika zoezi lililofanyika kwenye zahanati ya Kaliua.

Tuesday, October 17, 2017

MAFUNZO YA SIKU TATU MFUMO WA UPANGAJI MIPANGO NA BAJETI YAHITIMISHWA HAPO JANA TAREHE 16 Oktoba 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Ndugu John Pima, akiwahutubia washiriki wa mafunzo ya siku tatu ya mfumo  wa PlanRep kabla ya kuyafunga hapo jana. Soma Hotuba

Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua - DPLO Ndugu Edwin Mashala, akitoa taarifa ya mafunzo ya PlanRep kwa Mkurugenzi Mtendaji muda mchache kabla ya kufungwaa kwa mafunzo hayo Kulia ni Mwenyekiti wa Mafunzo Ndugu Marco Kapela.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo wakiwa katika mazoezi ya vitendo ya matumizi ya mfumo wa upangaji bajeti wa PlanRep.

Tuesday, August 8, 2017

KILELE CHA MOANYESHO YA NANE-NANE 2017

Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Marco Pima akionyesha cheti mara baada ya kutangazwa mshindi...bonyeza hapa kusoma zaidi


Wananchi mbalimbali wakijifunza namna bora ya uzalishaji wa tumbaku ambalo ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato wilaya ya Kaliua

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Mh. Haruna Kasele akisaini kitabu baada ya kuwasili katika banda la maonyesho ya wilaya ya Kaliua
Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Pima akikagua bidhaa mbalimbali zinazopatikana katika banda ya wilaya ya Kaliua kwenye maonyesho ya nane nane
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wakiwasili kuadhimisha kilele cha maonyesho ya nane nane  2017