Tuesday, October 17, 2017

MAFUNZO YA SIKU TATU MFUMO WA UPANGAJI MIPANGO NA BAJETI YAHITIMISHWA HAPO JANA TAREHE 16 Oktoba 2017

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Ndugu John Pima, akiwahutubia washiriki wa mafunzo ya siku tatu ya mfumo  wa PlanRep kabla ya kuyafunga hapo jana. Soma Hotuba

Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua - DPLO Ndugu Edwin Mashala, akitoa taarifa ya mafunzo ya PlanRep kwa Mkurugenzi Mtendaji muda mchache kabla ya kufungwaa kwa mafunzo hayo Kulia ni Mwenyekiti wa Mafunzo Ndugu Marco Kapela.
Baadhi ya washiriki wa Mafunzo wakiwa katika mazoezi ya vitendo ya matumizi ya mfumo wa upangaji bajeti wa PlanRep.

No comments:

Post a Comment