Friday, December 15, 2017

ZOEZI LA UPANDAJI MITI WILAYANI KALIUA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Dr. John Pima akipanda mti katika zahanati ya Kaliua
 Dr. John Marco Pima akitoa maelekezo kwa watumishi wa Halmashauri ya Kaliua namna bora ya upandaji wa miti.
 Afisa Tarafa wa tarafa ya Kaliua Ndugu Bethod Mahenge, akishiriki vyema katika zoezi la upandaji miti katika zahanati ya Kaliua

Katibu Tawala-DAS wa Wilaya ya Kaliua akishiriki zoezi la upandaji miti katika zahanati ya Kaliua
Dr. Aristides Raphael (kulia) Mganga Mkuu wa Wilaya akiwa na Afisa Mapato wa Halmashauri wakishirikiana kupanda miti katika zoezi lililofanyika kwenye zahanati ya Kaliua.

No comments:

Post a Comment