Tuesday, August 8, 2017

KILELE CHA MOANYESHO YA NANE-NANE 2017

Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Marco Pima akionyesha cheti mara baada ya kutangazwa mshindi...bonyeza hapa kusoma zaidi


Wananchi mbalimbali wakijifunza namna bora ya uzalishaji wa tumbaku ambalo ni moja ya chanzo kikubwa cha mapato wilaya ya Kaliua

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua Mh. Haruna Kasele akisaini kitabu baada ya kuwasili katika banda la maonyesho ya wilaya ya Kaliua
Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Pima akikagua bidhaa mbalimbali zinazopatikana katika banda ya wilaya ya Kaliua kwenye maonyesho ya nane nane
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kaliua wakiwasili kuadhimisha kilele cha maonyesho ya nane nane  2017


No comments:

Post a Comment