Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Haruna Kasele na Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Pima wakionyesha cheti cha mshindi wa Kwanza ALAT 2018
Wajumbe wa ALAT Mkoa wa Tabora wakiwa katika Kikao kilichofanyi katika ukumbi wa Halmashauri wilayani Kaliua
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Tabora Mh. Adam Malunkwi akiongoza ujumbe wa ALA 2018 kwa walipomtembelea Mkuu wa Wilaya ya Kaliua
No comments:
Post a Comment