Sunday, February 18, 2018

ZIARA YA ALAT MKOA WA TABORA MWAKA 2018

Mwenyekiti wa Halmashauri Mh. Haruna Kasele na Mkurugenzi Mtendaji Dr. John Pima wakionyesha cheti cha mshindi wa Kwanza ALAT 2018


Wajumbe wa ALAT Mkoa wa Tabora wakiwa katika Kikao kilichofanyi katika ukumbi wa Halmashauri wilayani Kaliua


Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Tabora Mh. Adam Malunkwi akiongoza ujumbe wa ALA 2018 kwa walipomtembelea Mkuu wa Wilaya ya Kaliua

No comments:

Post a Comment